Headlines News :
Home » » MAPOKEZI YA MBUYI TWITE ALIPOWASILI DAR LEO

MAPOKEZI YA MBUYI TWITE ALIPOWASILI DAR LEO

Written By Bashir Nkoromo on Thursday, August 30, 2012 | 9:05 AM

 Mchezaji wa Yanga kutoka APR ya Rwanda Mbuyi Twite akiwapungia mikono mashabiki wa Yanga baada ya kupokewa Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere alipowasili leo jijini Dar es Salaam.
 Viongozi na mashabiki wa Yanga wakiwa wamemuweka kibindoni Twite
 Akizungumza na Waandishi wa habari kuthibitisha kuwasili kwake nchini
 Twite akiwa amevalishwa jezi namba nne na jina la RAGE, bila shaka kumtania Mwenyekiti wa Simba Aden Rage
 Mashabiki wa Yanga wakionyesha furaha yao
 Mashabiki wa Yanga wakifanya vituko kukoleza mapokezi hayo
Rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mpaka Bhasiiiiiiii Picha kutoka Habari Mseto Blogu
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template