Mchezaji wa Yanga kutoka APR ya Rwanda Mbuyi Twite akiwapungia mikono mashabiki wa Yanga baada ya kupokewa Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere alipowasili leo jijini Dar es Salaam.
Viongozi na mashabiki wa Yanga wakiwa wamemuweka kibindoni Twite
Akizungumza na Waandishi wa habari kuthibitisha kuwasili kwake nchini
Twite akiwa amevalishwa jezi namba nne na jina la RAGE, bila shaka kumtania Mwenyekiti wa Simba Aden Rage
Mashabiki wa Yanga wakionyesha furaha yao
Mashabiki wa Yanga wakifanya vituko kukoleza mapokezi hayo
Rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mpaka Bhasiiiiiiii Picha kutoka Habari Mseto Blogu
Home »
» MAPOKEZI YA MBUYI TWITE ALIPOWASILI DAR LEO
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !