Wanamuziki wa bendi ya Vijana Jazz, ' Wana Saga Rhumba, Air pambamoto' wakiimba wimbo wao mpya wa Utanieleza nini', bendi hiyo ilipotumbuiza usiku wa kuamkia leo, kwenye ukumbi wa Masae Bar, Kawe, mjini Dar es Salaam. Kutoka kulia, Saburi Athumani (Kiongozi wa bendi), Abdallah Mgona Hazelu (Katibu wa bendi), Nuru Mhina 'Baby Whiye' na Roshi Mselela.
Shabiki Eddy Mlaponi na patna wake wakijimwaya mwaya ukimbiniKiongozi wa Vijana Jazz Saburi Athuman, akiiba onyesho la Masae Bar, Kawe.
Katibu wa Bendi Abdallah Mgona Hazelu akiimba
Nuru Mhina 'Baby White' akiimba kibao cha Wifi zangu Mna mambo' cha bendi hiyo
Roshi Mselela
Mohamed Kanduru akionyesha umahiri wake wa kupuliza tarumbeta
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !