Headlines News :
Home » » YANGA YAIKAMUA KAGERA SUGAR I-0

YANGA YAIKAMUA KAGERA SUGAR I-0

Written By Bashir Nkoromo on Wednesday, February 27, 2013 | 7:34 AM


 Simon Msuna wa Yanga akichuana na Malegesi Mwangwa wa Kagera Sugar, timu zao zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kagera ilefungwa bao 1-0. Picha zaidi ni mpambano huo.
 Simon Msuna na Muganyizi Martin wa Kagera Sugar
 Said Bahanuzi wa Yanga na  Benjamin Asukile
 Frank Domayo wa Yanga na Daudi Jumanne
 Haruna Niyonzima wa Yanga na  Ally Abdulkareem
 Simon Msuna wa Yanga na  Malegesi Mwangwa
 Haruna Niyonzima wa Yanga na Muganyizi  Martin
 Didie Kavumbagu wa Yanga na Juma Nade
 Kavumbagu wa Yanga aakiwa amelala baada ya kudaiwa kukwatuliwa kwenye eneo la hatari mwa Kagera Sugar. Hata hivyo penati iliytotolewa licha ya kusababisha ubishi lakini haikuza matunda baada ya mchezaji wa Yanga aliyeipiga kuipaisha.
 Refa akibishana na wacxhezaji wa Kagera kwa ajili ya penati hiyo
 Penati ambayo haikuzaa matunda
Mashabviki wa Yanga. PICHA ZOTE NA NKOROMO BLOG
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template