Headlines News :
Home » » JAHAZI YATISHA USIKU WA VALENTINE DAR LIVE

JAHAZI YATISHA USIKU WA VALENTINE DAR LIVE

Written By Bashir Nkoromo on Saturday, February 15, 2014 | 9:37 AM

Nyomi ya wapendanao ikifuatilia kwa makini burudani.
Zawadi za Valentine zikiuzwa ndani ya Darlive kama zilivyonaswa na kamera yetu.
Mnenguaji wa Jahazi akifanya yake.
 
Dada huyu alishindwa kujizuia kuyarudi.
 
Tx Moshi Juniour akimtunza muimbaji wa Jahazi.
 
Waimbaji wa Jahazi katika picha ya pamoja.
 
Mzee Yusuph na mkewe Leila wakiongea kitu mbele ya mashabiki.
 
Mc akiwauliza maswali wapendanao hao.
 
Hapa Mzee Yusuph akikamua.
 
Mc wa Dar Live, Pamela Daffa akitoa zawadi kwa mashabiki waliopendeza.
 
... Pamela akitoa zawadi kwa shabiki mwingine aliyependeza.
 
Leila Yusuf naye alipata zawadi baada ya kupendeza.
Jahazi yatisha Dar Live
Jana wakazi wa Jiji la Dar es Salaam walifurika kwa wingi ndani ya Ukumbi wa Taifa wa Burudani wa Dar Live ambako Bendi ya Taarab ya Jahazi ilitoa burudani ya nguvu.
Ukumbi wa Dar Live ulifurika kiasi cha kufanya hata sehemu ya kutemea mate ikosekane, aidha mashabiki mbalimbali walipata nafasi ya kupiga picha katika Red Carpet na wengine waliopendeza walishinda zawadi kibao.
(PICHA : ISSA MNALLY NA CHANDE ABDALLAH/GPL)
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template