Headlines News :
Home » » LADY GAGA AFANYA VITUKO VYA MWAKA KWENYE BETHIDEI YAKE

LADY GAGA AFANYA VITUKO VYA MWAKA KWENYE BETHIDEI YAKE

Written By Bashir Nkoromo on Saturday, March 29, 2014 | 9:05 PM


Lady Gaga 1

Mwanamuziki wa pop asiyehishiwa  vituko kila kukicha, Lady gaga ametoa mpya baada ya kuvaa nguo iliyomuacha wazi sehemu kubwa ya mwili wake kiasi kwamba unaweza ukaona kila kitu alichovaa kwa ndani wakati  akisherehekea  siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 28  iliyofanyika katika ukumbi wa ‘Roseland Ballroom’ New York Marekani 

”Asanteni sana kwa kujumuika na mimi kwenye bethidei yangu, nilipoamka asubuhi nilikuwa na furaha. Nilikuwa nahamu ya kuwepo hapa usiku huu. Nina marafiki wengi hapa..mashabiki wengi na nimekulia kwa miaka sita” alisema Gaga
Lady Gaga



Lady Gaga
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template